Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
" kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti akazimia

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hahahahahaha! Hatari

Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Agnes Njeri (Guest) on July 5, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on July 4, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Amina (Guest) on July 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hamida (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Malima (Guest) on May 15, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 10, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Asha (Guest) on May 8, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Wangui (Guest) on April 14, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on April 10, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on December 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on September 15, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 30, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwajuma (Guest) on June 5, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Stephen Kikwete (Guest) on June 3, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Mwita (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on January 8, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on November 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on November 9, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Asha (Guest) on November 2, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Chiku (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Selemani (Guest) on October 21, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on October 11, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Omar (Guest) on October 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on September 30, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Komba (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on April 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 19, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on January 31, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kawawa (Guest) on January 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 1, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on December 4, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Mwangi (Guest) on November 28, 2021

Asante Ackyshine

Makame (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Njuguna (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

πŸ“– Explore More Articles