Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani. Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamsa (Guest) on July 1, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on June 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Faiza (Guest) on June 24, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Simon Kiprono (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Mushi (Guest) on May 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mtumwa (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on March 28, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Zainab (Guest) on February 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 4, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Abubakari (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Sokoine (Guest) on November 25, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on November 15, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on November 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on October 16, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 11, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Sokoine (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on July 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Farida (Guest) on July 20, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on July 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Hawa (Guest) on June 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on April 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on January 18, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Leila (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Sokoine (Guest) on November 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Paul Ndomba (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 3, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Brian Karanja (Guest) on August 29, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on July 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Rahma (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Mwafirika (Guest) on July 8, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on July 7, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 4, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on July 1, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on June 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on May 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on May 16, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Shamsa (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

πŸ“– Explore More Articles