Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kisa cha kusisimua: Funzo kwa mabinti

Featured Image

Kijana maskini na mwenye maisha duni alimpenda msichana mmoja
Baada ya kutumia muda mwingi kumfikiria msichana huyo,
Siku moja akaamua kumwita na kumwambia ukweli ya kwamba amempenda na angehitaji kumuoa.

Msichana kwa nyodo na jeuri akasema "sikiliza tena unisikilize kwa makini wewe maskini mshahara wako unaopokea kwa mwezi hautoshi hata kwa matumizi yangu ya siku moja sasa utawezaje kunitunza mm!

Kwaufupi mm sio levo zako hivyo basi sahau kabisa kuhusu kunipata mimi
Nenda katafute maskini mwenzio atakae endana na maisha yako,
Mwisho akamwangalia kwa dharau na kisha akaenda zake.

Kwanzia siku ile kijana hakubahatika tena kumuona msichana yule lkn kwakuwa alimpenda basi hakuweza kumsahau kirahisi rahisi siku zilienda na miezi ikasonga,
Miaka 10 baadae wawili hawa walikuja kukutana katika supermarket moja hivi mjini

Kijana alipomwona msichana alitabasamu lakin kabla hajasema chochote msichana kama kawaida yake kwa dharau akasema "we maskin upo! hivi na ww unaingiaga supermarket eh!

Akaongeza huku akisema walau sasahivi nakuona umependeza inaonekana boss wako kakuongeza mshahara
ila kwa kifupi naomba nikwambie sasahivi nimeshaolewa mume wangu anafanya kazi kwenye kampuni moja hivi ya mtu binafsi kampuni maarufu sana na mshahara wa mume wangu ni shilingi milioni moja na laki mbili kwa mwezi na malupulupu mengine kibao,
Unafikiri ww na umaskini wako kuna siku utakuja kufikia kiwango cha mshahara anachopokea mume wangu!

Macho ya kijana yalitokwa na machozi kwa kuona msichana hajabadilika na anaendelea kuwa na maneno ya kejeri na dharau.

Mara hii mume wa yule dada akaingia ktk supermarket
Ile kumuona yule kijana mume akasema "ooh! Kiongozi upo hapa! Leo imekuwa bahati umekutana na mke wangu!" Kisha akamgeukia mke wake na kusema "mke wangu huyu ndo boss wangu

Na unajua nn mke wangu usishangae kumuona boss wangu anakuja kununua vitu mwenyewe hapa supermarket ukweli ni kwamba boss wangu hana mke, anasema alisha wahi kumpenda msichana mmoja lakini hakufanikiwa kumpata na amekuwa na ndoto ya kuja kukutana tena na msichana huyo ndio maana mpaka sasa bado hajaoa.

Akaendelea kusema hebu fikiria ni bahati kiasi gani alikuwa nayo msichana huyo kama angekubali kuolewa na boss wangu leo hii siangekuwa
maisha!

Muda wote msichana alikuwa kimya hajui hata ajibu nn kwa dharau alizomuonyesha kijana tangu mwanzo.


UJUMBE WANGU
Kwenye maisha mambo huweza kubadilika kama vile upepo unavoweza kubadili mwelekeo kulingana na masaa Hivyo basi usimdharau na kumbeza mtu yeyote kwa sababu ya hali aliyonayo,
Maana kila mtu anafungu lake alilopangiwa na Mungu,

Lakini pia kumbuka hakuna ajuaye kesho
Wakati mwingine mtu unayemdharau leo ndiye huyohuyo ambaye kesho utasimulia mafanikio yake.

Kwako unayesoma ujumbe huu nakuombea Mungu akakufungulie milango ya baraka na kuyapa thamani maisha yako ili pale ulipozomewa ukashangiliwe na wale wote waliokudharau punde wakapate kukupigia magoti kwa uweza wa Mungu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Director J (User) on May 15, 2025

Good story πŸ’ͺ

Related Posts

Muda wa Kufanya Kufanya Mapenzi

Muda wa Kufanya Kufanya Mapenzi

Muda wa Kufanya Kufanya Mapenzi

Wapenzi wote duniani wana nia ya kufanikiwa katika mapenzi... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana kuhusu matatizo ya kiafya na tiba na mpenzi wako

Jinsi ya Kuwasiliana kuhusu matatizo ya kiafya na tiba na mpenzi wako

Kuwasiliana kuhusu matatizo ya kiafya na tiba na mpenzi wako ni muhimu katika kujenga uelewa, ushiri... Read More
Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya historia na utamaduni wa jamii yenu

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya historia na utamaduni wa jamii yenu

Siku zote ni muhimu kuwa na mawasiliano mazuri na mpenzi wako, na moja ya mambo muhimu ni kuwasil... Read More

Mchumba anayefaa kufunga naye ndoa

Mchumba anayefaa kufunga naye ndoa

Maisha ya ndoa yanahitaji maandalizi mazuri, kama waswahili wasemavyo nyote njema huonekana asubu... Read More

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano? Hili ni swali amb... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya haki za binadamu na usawa

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya haki za binadamu na usawa

Hivi unajua kwamba kuna umuhimu mkubwa wa kuzungumzia masuala ya haki za binadamu na usawa kwa mp... Read More

Namna ya Kukuza Umoja na Ushirikiano wa Kudumu na mke wako

Namna ya Kukuza Umoja na Ushirikiano wa Kudumu na mke wako

Kukuza umoja na ushirikiano wa kudumu na mke wako ni muhimu katika kujenga ndoa yenye furaha na thab... Read More
Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Upendo ni ... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia

Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia ni muhimu kwa kujenga msingi imara k... Read More
Ushawishi wa Dini katika Maadili ya Kufanya Mapenzi: Kupata Usawa kati ya Imani na Mahitaji ya Kibinadamu

Ushawishi wa Dini katika Maadili ya Kufanya Mapenzi: Kupata Usawa kati ya Imani na Mahitaji ya Kibinadamu

Ushawishi wa Dini katika Maadili ya Kufanya Mapenzi: Kupata Usawa kati ya Imani na Mahitaji ya Ki... Read More

Njia za Kusuluhisha Mazungumzo ya Mgawanyiko katika Uhusiano wako na Msichana

Njia za Kusuluhisha Mazungumzo ya Mgawanyiko katika Uhusiano wako na Msichana

Njia za Kusuluhisha Mazungumzo ya Mgawanyiko katika Uhusiano wako na Msichana

Kila uhusian... Read More

Njia za Kuweka Kipaumbele cha Mawasiliano ya Wazi na Uaminifu katika Familia

Njia za Kuweka Kipaumbele cha Mawasiliano ya Wazi na Uaminifu katika Familia

Kuweka kipaumbele cha mawasiliano ya wazi na uaminifu katika familia ni muhimu sana kwa ustawi wa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About