Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa

Featured Image

Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;

1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.

2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia "Mimi ni mume wa mtu" au ninae mtu tayari.

3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, "wanawake wamaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao"

4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe!

5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza.

6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio mzee!

7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila mahali.

8. Mwanamke anaweza kukusaliti, ila Mungu hawezi kukusaliti, hivyo basi kabla hujapata mwanamke Mpate Mungu kwanza. Kuna raha sana kuwa ndani ya Mungu asikwambie mtu!

9. Kama unajijua umefikisha miaka 25 na kuendelea epuka mambo ya kivulana, kuvaa suruali katikati ya makalio, kuvaa hereni, kubadili badili wanawake kama unachambua mitumba ya karume etc

10. Usitumie kichwa chako kunyoa kiduku, tumia kichwa chako kuwaza mambo yenye tija ikiwemo kutafuta pesa na kuongeza hazina ya maarifa.
MBARIKIWE SANA WANAUME WOTE WENYE BUSARA..

Kama Mwanamme Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili uweze kuwafahamu zaidi wanawake
[products columns="2" ids="30827"]
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuelewa na kuheshimu mahitaji ya faragha na nafasi ya kibinafsi na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kuheshimu mahitaji ya faragha na nafasi ya kibinafsi na mpenzi wako

Kuelewa na kuheshimu mahitaji ya faragha na nafasi ya kibinafsi ya mpenzi wako ni muhimu katika kuje... Read More
Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Kila familia inahitaji ushirikiano mzuri na urafiki wenye nguvu ili kuweza kudumisha mahusiano ma... Read More

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

  1. Anza kwa kujenga urafiki mzuri Kabla ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ni muhimu kujeng... Read More

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Mahusiano yako

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Mahusiano yako

Tofauti za kifedha zinaweza kuwa sababu ya migogoro katika mahusiano yako. Hata hivyo, unaweza ku... Read More

Jinsi ya Kupenda na Kuthamini Ndugu: Kuonyesha Upendo katika Neno na Matendo

Jinsi ya Kupenda na Kuthamini Ndugu: Kuonyesha Upendo katika Neno na Matendo

  1. Kuwasiliana na Ndugu: Kujenga Uhusiano wa karibu na Ndugu ni muhimu sana katika kupenda... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kuwalea Watoto kwa Upendo na Ukarimu katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kuwalea Watoto kwa Upendo na Ukarimu katika Familia Yako

Kuweka kipaumbele cha kuwalea watoto kwa upendo na ukarimu katika familia yako ni jambo muhimu sa... Read More

Njia za Kuongeza Uvumilivu katika Kufanya Mapenzi: Kujifunza Kudhibiti Msisimko

Njia za Kuongeza Uvumilivu katika Kufanya Mapenzi: Kujifunza Kudhibiti Msisimko

  1. Kujifunza kudhibiti msisimko kunaweza kuongeza uvumilivu wako wakati wa kufanya mapenzi... Read More

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu masuala ya uzazi na uzazi wa mpango

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu masuala ya uzazi na uzazi wa mpango

Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu masuala ya uzazi na uzazi wa mpango ni muhimu katika kujenga uelewa... Read More
Kujenga Ushirikiano wenye Upendo na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Kujenga Ushirikiano wenye Upendo na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Kujenga ushirikiano wenye upendo na kuunda amani na furaha katika familia ni jambo muhimu sana ka... Read More

Kujenga Mazingira ya Upendo na Ukarimu katika Familia

Kujenga Mazingira ya Upendo na Ukarimu katika Familia

Karibu katika makala hii inayozungumzia jinsi ya kujenga mazingira ya upendo na ukarimu katika fa... Read More

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele? Hii... Read More

Wosia mzuri wa baba kwa mwanae

Wosia mzuri wa baba kwa mwanae

Mwanangu, mimi baba yako nimeishi miaka mingi kuliko wewe ndio maana unaniita baba. Ni kweli sija... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About