Kwa nini mara nyingine uume hausimami?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ili mwanaume aweze kujamii ana, ni lazima uume usimame na kuweza kupenya ukeni. Kama mvulana anasisimka kimapenzi, damu nyingi inaenda katika mishipa ya damu ndani ya uume. Halafu uume husimama kutokana na msukumo wa damu. Hivyo kama msukumo wa damu hautoshi, hii husababisha uume kutosimama au kusimama kwa unyonge.
Kutokuwa na msisimko wa kutosha kwa ajili ya kusimamisha uume kunaweza kusababishwa na mambo mengi, mojawapo ni i i ile hali ya kutokuwa tayari kwa kujamii ana, kuwa na wasiwasi mwingi, kutompenda mpenzi wako, ulevi wa pombe au dawa za kulevya, kuvuta sigara, lishe duni au maradhi mbalimbali.
Kama una shida ya uume kutosimama wakati wa kujamii ana, jaribu kuangalia ni sababu zipi kati ya hizi zilizoorodheshwa juu zingeweza kuwa sababu kuu ya shida yako. Halafu, jaribu kurekebisha matatizo.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono ππ‘οΈ
Karibu kijana...
Read More
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende π
Karibu sana kwenye makala hi...
Read More
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathir...
Read More
Je, ni sahihi kufanya mapenzi na mpenzi wangu wa shule? π€
Habari vyote vijana! Leo tuta...
Read More
Njia za uzazi wa mpango zinatofautiana sana na zinaweza kugawanywa katika makundi mengi:
Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test...
Read More
Habari yako, mpenzi! Katika mada ya leo, tunajadili kuhusu mambo ambayo hayafai kuzungumziwa kuhu...
Read More
Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? π
Asante kwa ku...
Read More
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina ni...
Read More
Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana ...
Read More
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo...
Read More
Je, ngono/kufanya mapenzi ni sehemu muhimu ya uhusiano wa kimapenzi?
Kwa wengi, kufanya ma...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!