Mimba i inatungwa wakati yai la kike linaporutubishwa na mbegu za kiume. Kama tulivyoona hapo juu, jinsia ya mtoto i inategemea aina ya mbegu za kiume. Nusu ya mbegu za mwanaume zinatengeneza mtoto wa kiume na nusu ya mbegu zinatengeneza mtoto wa kike. Lakini wanaume hawana uwezo wa kuamua aina ya mbegu i itakayorutubisha yai. Kwa hiyo, haiwezekani kupanga. Jinsia ya mtoto i nategemeana na bahati tu.
Je, unaweza kupanga kuzaa aina ya watoto, yaani wa kiume au wa kike tu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna! Ili kufurahi na kufikia kil... Read More
Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye โpekuโ?
Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaum... Read More
Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu?
Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu? Hili ni swali ambalo huwa linawasumbua wapen... Read More
Je, mwanaume ambaye ana uwezo wa kumwaga shahawa bila shida, inawezekana kwamba ni mgumba?
Ndiyo, mwanaume ambaye ana uwezo wa kumwaga mbegu bila shida anaweza kuwa mgumba. Kutokuwa mgumba... Read More
Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka... Read More
Je, nini imani ya watu katika kuzungumza waziwazi juu ya ngono/kufanya mapenzi na kutokuwa na aibu?
Habari rafiki yangu! Leo tutaongea kuhusu umuhimu wa kuzungumza waziwazi juu ya ngono na kufanya ... Read More
Kama Albino akiathirika na VVU anaweza kutumia ARVs kama watu wengine?
Katika suala hili la UKIMWI hakuna tofauti yoyote kati ya
Albino na watu wengine katika jami...
Read More
Je , vipimo vya Virusi vya UKIMWI vinasema ukweli?
Uwezekano wa kupata majibu ya uwongo ni mdogo sana, isipokuwa tu kama vipimo vitafanyika kipindi ... Read More
Kweye Bikra, Kizinda ni nini na kinawezaje kuharibika?
Kizinda ni kiwambo laini kinachokuwepo ndani ya uke. Kiwambo hiki kina tundu katikati i i ili kuw... Read More
Msaada juu ya ukeketaji
Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unawez...
Read More
Madhara yanayotokea kwa unyanyasaji wa jinsia kwa mtu
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathir...
Read More
Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?
Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!