Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sabau za ubakaji

Featured Image

Ni vigumu kuelewa nini kinamfanya mtu aweze kubaka mwingine.
Ubakaji ni aina nyingine ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia
ambao utaleta madhara mengi kwa muhusika kwa hiyo hakuna
msamaha kwa ubakaji.
Ubakaji mara zote ni kosa la mbakaji. Hakuna maelezo
mazuri ya kuwaelezea watu ambao ni, au wanajihusisha na
ubakaji. Ubakaji unatendeka kwa sababu mbalimbali. Baadhi
ya wabakaji ni wagonjwa wa akili, wanaume wengine wanabaka
kwa sababu wanafikiri wanawake wako pale ili kuwaridhisha
wao katika masuala ya kujamiiana, na kumwadhibu msichana au
wameshawishiwa na wengine.
Hii ni kosa maana hauheshimu haki ya binadamu na thamani ya
muhusika. Dawa za kulevya na pombe yanaweza vinashawishi
tabia ya ubakaji maana vinawafanya watu kushindwa kujizuia
kuhusu tabia zao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel... Read More

Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu?

Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu?

Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu? πŸ€”

Jambo zuri kujiuliz... Read More

Kufikia mshindo au kufika kileleni kwa mwanamke na mwanamme wakati wa kufanya mapenzi

Kufikia mshindo au kufika kileleni kwa mwanamke na mwanamme wakati wa kufanya mapenzi

Je, mwanamke anaweza kufikia mshindo?

Ndiyo, mwanamke anaweza kufikia mshindo wakati wa kuj... Read More
Iwapo msichana atajamiiana wakati wa siku salama anaweza kuepuka kupata mimba?

Iwapo msichana atajamiiana wakati wa siku salama anaweza kuepuka kupata mimba?

Siku salama ni siku ambazo hakuna yai ambalo lipo tayari kwa kurutubishwa. Iwapo mwanamke atajami... Read More

Jinsi ya Kuonyesha Ukarimu kwa Msichana Wako

Jinsi ya Kuonyesha Ukarimu kwa Msichana Wako

Habari za leo! Leo nataka kuzungumza juu ya jinsi ya kuonyesha ukarimu kwa msichana wako. Kama mw... Read More

Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?

Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?

Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza... Read More

Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Ngono na Wazazi?

Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Ngono na Wazazi?

Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Ngono na Wazazi? πŸ€”

Karibu kwenye makala hii ambapo tutaj... Read More

Je, kuna madhara gani kama mtu anakaa muda mrefu bila kujamiiana au kufanya mapenzi?

Je, kuna madhara gani kama mtu anakaa muda mrefu bila kujamiiana au kufanya mapenzi?

Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya iwapo utakaa muda mrefu bila ya kujamiiana. Viungo ... Read More
Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano? Hili ni swali amb... Read More

Je , vipimo vya Virusi vya UKIMWI vinasema ukweli?

Je , vipimo vya Virusi vya UKIMWI vinasema ukweli?

Uwezekano wa kupata majibu ya uwongo ni mdogo sana, isipokuwa tu kama vipimo vitafanyika kipindi ... Read More

Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?

Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?

Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele z... Read More

Njia za Kufanya Msichana Amevutiwa na Wewe kwa Muda Mrefu

Njia za Kufanya Msichana Amevutiwa na Wewe kwa Muda Mrefu

Habari wapendwa, leo tutazungumzia njia za kufanya msichana amevutiwa na wewe kwa muda mrefu. Kun... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About