Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Jinsi ya kupika Wali Wa Kichina wa mboga mboga Na Mayai

Featured Image

Viambaupishi

  1. Mchele (Basmati) - 3 vikombe
  2. Mbogamboga za barafu (karot, njegere, spring beans na mahindi) - 1 kikombe
  3. Kuku Kidari - 1 LB (ratili)
  4. Mayai - 2 mayai
  5. Vitunguu (vikubwa) - 2 au 3 vidogo
  6. Pili pili manga - 1 kijiko cha chai
  7. Paprika - 1 kijiko cha chai
  8. Chumvi - Kiasi
  9. Mafuta - 1/3 kikombe cha chai
  10. Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 kijiko cha supu
  11. Tangawizi - 1 kijiko cha chai
  12. Kidonge cha supu - 1
  13. Soy sauce - 2 vijiko vya supu

Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Kuku

Kata kidari cha kuku vipande vidogo vidogo vya kiasi.

Tia mafuta kidogo katika wok (karai ya kichina)

Kisha mtie kuku, thomu, tangawizi, soy sauce, pilipilimanga, paprika chumvi.

Tia mboga za barafu, kidonge cha supu, kaanga kuku na mboga viwive yitu vyote na mchanganyiko ukauke.

Namna Ya Kutayarisha Na kupika Wali

Roweka mchele wa basmati kwa muda wa saa au zaidi.

Halafu chemsha mchele pamoja na chumvi

Wacha uchemke asilimia 70%

Chuja maji na weka kando

Katika sufuria, tia mafuta kidogo tu

Kisha tia mayai mawili ukaange haraka haraka (crumbled egg)

Changanya mchanganyiko wa kuku na mboga

Kisha tia wali changanye vizuri

Rudisha katika moto, funika upikike kidogo hadi uive

Kisha pakua katika sahani na tolea na mayai ya kuchemsha ukipenda.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Mapishi ya Wali, samaki wa nazi na kisamvu

Mapishi ya Wali, samaki wa nazi na kisamvu

Mahitaji

Mchele
Kisamvu kilichotwangwa
Samaki
Mbaazi
Nyanya chunguRead More

Jinsi ya kupika Mseto Kwa Mchuzi Wa Samaki Wa Nazi

Jinsi ya kupika Mseto Kwa Mchuzi Wa Samaki Wa Nazi

Vipimo vya mseto

Tanbihi: Kiasi ya vipimo inategemea wingi wa watu, unaweza kupunguza au ... Read More

Jinsi ya kupika Juisi Ya Mabungo

Jinsi ya kupika Juisi Ya Mabungo

Mahitaji

Kupata takriban gilasi 6

Mabungo - 3

Maji - 6 au 7 Gi... Read More

Mapishi ya Firigisi za kuku

Mapishi ya Firigisi za kuku

Mahitaji

Filigisi (chicken gizzard) 1/2 kilo
Carrot iliyokwanguliwa 1
Nyanya 1/... Read More

Mapishi ya Ndizi Mbichi Za Nyama Ng'ombe

Mapishi ya Ndizi Mbichi Za Nyama Ng'ombe

Vipimo

Ndizi mbichi - 10

Nyama - kilo 1

Nazi ya kopo - 1

Chumvi - 1 Kij... Read More

Jinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi

Jinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi

Mahitaji

Mchele wa biriani - 5 gilasi

Nyama ya ngombe ya mifupa - 1 ยฝ kilo na nusu... Read More

Jinsi ya kupika Biskuti Za Kuchoveya Chokoleti

Jinsi ya kupika Biskuti Za Kuchoveya Chokoleti

Viambaupishi

Unga 300gm

Siagi 225gm

Icing Sugar 60gm

Chokoleti iliyokoz... Read More

Jinsi ya kupika vizuri Wali Wa Karoti Na Nyama

Jinsi ya kupika vizuri Wali Wa Karoti Na Nyama

MAHITAJI YA WALI

Mchele - 3 Magi

Mafuta - 1/4 kikombe

Karoti unakata refu ref... Read More

Jinsi ya kupika Visheti Vyeupe Na Vya Kaukau

Jinsi ya kupika Visheti Vyeupe Na Vya Kaukau

VIPIMO:

Unga wa Visheti

Unga 4 Vikombe vya chai

Siagi 1 Kikombe cha chai

<... Read More
Mapishi ya Viazi vya nyama

Mapishi ya Viazi vya nyama

Mahitaji

Viazi (potato) 1 kilo
Nyama ya ng'ombe 1/2 kilo
Nyanya ya kopo iliyosa... Read More

Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Nazi Wa Nyanya Chungu/Mshumaa/Ngogwe Na Bamia, Mboga Ya Matembele Na Samaki Wa Kukaanga

Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Nazi Wa Nyanya Chungu/Mshumaa/Ngogwe Na Bamia, Mboga Ya Matembele Na Samaki Wa Kukaanga

Vipimo Vya Ugali

Unga wa mahindi - 4

Maji - 6 kiasi kutegemea na aina ya unga

Read More
Jinsi ya kuandaa Ndizi Mbichi Za Supu Ya Nyama Ngโ€™ombe

Jinsi ya kuandaa Ndizi Mbichi Za Supu Ya Nyama Ngโ€™ombe

Mahitaji

Ndizi mbichi - Kisia

Nyama ngโ€™ombe - ยฝ kilo

Pilipili ya kusaga - ... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About