Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Otieno (Guest) on January 31, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on January 12, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on December 4, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rehema (Guest) on October 20, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alex Nakitare (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Moses Mwita (Guest) on September 2, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lydia Mahiga (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on August 10, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on August 3, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on July 27, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Kahina (Guest) on June 26, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on May 31, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on May 18, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amina (Guest) on May 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 9, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on April 5, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samuel Omondi (Guest) on March 6, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on December 16, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Catherine Naliaka (Guest) on November 5, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kabura (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Hekima (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alex Nyamweya (Guest) on July 31, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2015

😊🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raha (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on July 5, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 27, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mashaka (Guest) on May 20, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ahmed (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Henry Sokoine (Guest) on May 16, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwanaidha (Guest) on April 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Habiba (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Yahya (Guest) on April 2, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About