Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Abdillah (Guest) on August 6, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Husna (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Shamsa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Mwinuka (Guest) on July 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Peter Mugendi (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kahina (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nassar (Guest) on May 23, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on April 28, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Farida (Guest) on April 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mariam Kawawa (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on March 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ruth Kibona (Guest) on February 12, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on January 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 1, 2016

Asante Ackyshine

Nora Kidata (Guest) on December 17, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on November 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on November 5, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hassan (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ann Awino (Guest) on August 9, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on July 25, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rabia (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Faith Kariuki (Guest) on June 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bernard Oduor (Guest) on June 23, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Josephine Nekesa (Guest) on June 14, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on June 13, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tabitha Okumu (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Mwalimu (Guest) on April 20, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

πŸ“– Explore More Articles