Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Mushi (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Amukowa (Guest) on October 18, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 29, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on August 1, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rashid (Guest) on June 29, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Moses Kipkemboi (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on April 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 11, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on February 13, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on January 17, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on November 10, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sekela (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Athumani (Guest) on July 30, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mashaka (Guest) on July 17, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarah Karani (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Binti (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jane Muthui (Guest) on May 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jafari (Guest) on April 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on April 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More