Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zubeida (Guest) on May 14, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on April 27, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 9, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Nancy Akumu (Guest) on March 27, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Linda Karimi (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Malima (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on January 19, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on January 1, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on December 3, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on November 27, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on November 12, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on October 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on October 17, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on September 6, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Akech (Guest) on August 24, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on August 2, 2016

🀣πŸ”₯😊

David Ochieng (Guest) on August 2, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on June 20, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on May 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Ruth Kibona (Guest) on May 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Tabu (Guest) on January 31, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Tenga (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on January 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 23, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nassor (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on November 22, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 3, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fikiri (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Hawa (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 3, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Hekima (Guest) on August 30, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 12, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nchi (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on June 12, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on May 28, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on May 17, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mary Mrope (Guest) on May 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About