Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Maryโ€ฆ Hallow mpenzii
Lilyโ€ฆ. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lilyโ€ฆNzuri rafiki Yangu wa damu
Maryโ€ฆJioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lilyโ€ฆNakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMUโ€ฆKILA
MMOJA ANAWAZA

Lilyโ€ฆHuyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

Johnโ€ฆNiaje we mbwaa
Samโ€ฆPouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Samโ€ฆNiko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawaโ€ฆ Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMUโ€ฆKILA
MMOJA ANAWAZA

Johnโ€ฆDah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Samโ€ฆJohn bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulanaโ€ฆ
High ๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nakitare (Guest) on July 20, 2017

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on July 5, 2017

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on June 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on June 10, 2017

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mwanaisha (Guest) on May 29, 2017

๐Ÿคฃ Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 16, 2017

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Anna Malela (Guest) on March 11, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! ๐ŸŽฏ

Victor Kamau (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2017

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Sarah Achieng (Guest) on February 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Frank Sokoine (Guest) on February 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Azima (Guest) on February 3, 2017

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Kikwete (Guest) on February 1, 2017

Asante Ackyshine

Furaha (Guest) on January 31, 2017

๐Ÿ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nduta (Guest) on January 29, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimefurahia sana hii! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on January 2, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Henry Mollel (Guest) on January 1, 2017

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Stephen Mushi (Guest) on December 11, 2016

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on November 2, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! ๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Edwin Ndambuki (Guest) on October 29, 2016

๐Ÿ˜† Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2016

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on September 15, 2016

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii sasa hivi!

Maneno (Guest) on August 21, 2016

๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Chacha (Guest) on July 17, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Abdillah (Guest) on July 2, 2016

๐Ÿคฃ Nalia kwa kicheko kweli!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on May 29, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! โ˜•๐Ÿ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2016

๐Ÿ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on May 9, 2016

๐Ÿ‘๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2016

๐Ÿ˜‚ Hii ni kali sana!

Halimah (Guest) on April 8, 2016

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Grace Mligo (Guest) on March 26, 2016

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐Ÿ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 15, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! ๐Ÿ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 2, 2016

๐Ÿ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on December 25, 2015

๐Ÿ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2015

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2015

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Samuel Were (Guest) on October 24, 2015

Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Aziza (Guest) on October 13, 2015

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Issack (Guest) on October 12, 2015

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nyamweya (Guest) on October 8, 2015

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rose Mwinuka (Guest) on September 15, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

David Chacha (Guest) on August 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

John Mwangi (Guest) on July 27, 2015

๐Ÿ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Kibwana (Guest) on July 8, 2015

๐Ÿ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Bakari (Guest) on May 24, 2015

๐Ÿ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Daniel Obura (Guest) on May 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜†

Related Posts

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Marafiki wawiliย (Jose na Ben)ย walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:ย Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About