Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nora Kidata (Guest) on September 28, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Sokoine (Guest) on September 6, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Tabitha Okumu (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on June 4, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 28, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on April 24, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on March 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on February 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kassim (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on December 8, 2016

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mchome (Guest) on November 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on November 17, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on October 7, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 25, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mboje (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on August 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Wangui (Guest) on July 27, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Irene Makena (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on May 17, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Hellen Nduta (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on May 2, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 12, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on January 22, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Zakia (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Masanja (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Chris Okello (Guest) on October 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on October 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mary Njeri (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Lissu (Guest) on September 11, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kabura (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Bahati (Guest) on August 29, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Yusra (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on July 24, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Bernard Oduor (Guest) on July 12, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Musyoka (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on July 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on June 14, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Hekima (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anna Sumari (Guest) on April 24, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More