Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mrema (Guest) on August 7, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on August 7, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Catherine Mkumbo (Guest) on July 30, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on July 8, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

James Malima (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Charles Wafula (Guest) on May 29, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Josephine (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nashon (Guest) on May 7, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Lissu (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on February 27, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mutheu (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Were (Guest) on January 30, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on January 26, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 6, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on December 20, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Hassan (Guest) on December 20, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Samuel Were (Guest) on December 18, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Wambui (Guest) on December 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Furaha (Guest) on September 23, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on July 28, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on July 18, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on July 15, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Zainab (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Baridi (Guest) on June 21, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on May 15, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on May 2, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Salma (Guest) on April 20, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Baraka (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Ruth Mtangi (Guest) on April 17, 2016

🀣πŸ”₯😊

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on April 12, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on April 8, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Moses Kipkemboi (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on March 17, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mwakisu (Guest) on February 21, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwalimu (Guest) on January 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

James Kimani (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on November 23, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Maida (Guest) on September 29, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Janet Sumari (Guest) on September 21, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on September 11, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on August 14, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 13, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 5, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mary Mrope (Guest) on July 23, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sofia (Guest) on June 27, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rose Waithera (Guest) on May 26, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on April 29, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mwikali (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mary Mrope (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

πŸ“– Explore More Articles