Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salima (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on February 5, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Malima (Guest) on January 8, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nyota (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Michael Mboya (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Wilson Ombati (Guest) on November 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Raphael Okoth (Guest) on November 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on September 30, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hashim (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Sumaye (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Khadija (Guest) on July 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on July 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kabura (Guest) on April 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Lissu (Guest) on April 12, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on April 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on March 14, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Sokoine (Guest) on March 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on March 2, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ruth Kibona (Guest) on January 17, 2016

🀣πŸ”₯😊

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kiza (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on December 16, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mgeni (Guest) on November 14, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Mjaka (Guest) on October 24, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tambwe (Guest) on September 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mwikali (Guest) on September 23, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on August 12, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on July 27, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Macha (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on June 20, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on June 14, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 17, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on May 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

David Sokoine (Guest) on May 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More