Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?" Trafki akamwmbia, kwanin ucngeenda upande ambao una watu wachache ili uokoe wengi? Jamaa akajibu, "nilifanya hivo, huku kushoto alikua m1 na kulia walkua wa4, nikamfuata uyu wa kushoto et akakambilia upande wakulia akazani cjamwona, nikamfata huko huko alipoenda, nikampa kitu mbwa yule"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edith Cherotich (Guest) on August 25, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

James Kimani (Guest) on August 23, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on August 7, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Hashim (Guest) on July 1, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Mwinuka (Guest) on June 6, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Omari (Guest) on May 29, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Benjamin Masanja (Guest) on May 20, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on May 5, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Leila (Guest) on May 4, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mtei (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Achieng (Guest) on February 23, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Musyoka (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ramadhan (Guest) on January 13, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Wambura (Guest) on January 13, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on January 7, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nuru (Guest) on December 7, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Maulid (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Patrick Mutua (Guest) on December 2, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on November 10, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on September 25, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rahma (Guest) on September 18, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Kheri (Guest) on September 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwachumu (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Nyambura (Guest) on August 8, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mustafa (Guest) on August 3, 2016

Asante Ackyshine

Jamila (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Mwambui (Guest) on May 23, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Zakaria (Guest) on May 18, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on May 12, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on May 1, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Elizabeth Mtei (Guest) on April 18, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Miriam Mchome (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Alice Mrema (Guest) on April 5, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on April 3, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sekela (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nchi (Guest) on March 20, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zubeida (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Mwanaidha (Guest) on November 23, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fadhila (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

David Nyerere (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Aziza (Guest) on September 10, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mary Kendi (Guest) on September 8, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on August 26, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on August 25, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on August 15, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 11, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on April 16, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Related Posts

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About