Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe. Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza, 'Nyie mnafanya nini hapa?' Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarafina (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on July 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 3, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 2, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on March 29, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on March 21, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on February 6, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on February 2, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 2, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on January 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Faith Kariuki (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Zuhura (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Philip Nyaga (Guest) on November 27, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Michael Mboya (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on October 31, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Yusra (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Fatuma (Guest) on September 1, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nora Lowassa (Guest) on August 11, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

James Mduma (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on July 11, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 9, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on July 7, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sumaya (Guest) on July 7, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nyota (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarah Karani (Guest) on April 18, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on March 25, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on February 28, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kijakazi (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on February 8, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on January 25, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ibrahim (Guest) on January 17, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 28, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on December 21, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Fatuma (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Paul Kamau (Guest) on October 21, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Rashid (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Kamande (Guest) on September 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 3, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on June 1, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on May 20, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rukia (Guest) on May 11, 2015

Asante Ackyshine

Jacob Kiplangat (Guest) on May 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on April 1, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More