Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja; MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili? MFAMASIA: Kama chumvichumvi MZEE: Hakuna sukari MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumaye (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

James Mduma (Guest) on May 13, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on March 8, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on March 5, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Jamal (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 22, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Safiya (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Margaret Mahiga (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zakia (Guest) on January 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on December 28, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Christopher Oloo (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on October 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Maulid (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on August 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Stephen Amollo (Guest) on August 4, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Sumaye (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on July 9, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on June 16, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anna Kibwana (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on April 2, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kitine (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 15, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on March 6, 2016

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on February 27, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 24, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 30, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on November 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sharon Kibiru (Guest) on November 26, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on November 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Kahina (Guest) on October 19, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mchome (Guest) on October 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Warda (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Kawawa (Guest) on August 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on August 10, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 2, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on June 21, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on May 5, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 13, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Khatib (Guest) on April 8, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Related Posts

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More