Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rubea (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ibrahim (Guest) on March 15, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on February 11, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Sumari (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 17, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on January 1, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on December 25, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anna Mahiga (Guest) on December 11, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on December 8, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on December 1, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on November 28, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on November 21, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joyce Nkya (Guest) on October 1, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on August 20, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on August 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on July 13, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Linda Karimi (Guest) on May 19, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mariam Hassan (Guest) on May 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on April 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on April 4, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on April 1, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Edward Chepkoech (Guest) on March 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 14, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on February 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Mwinuka (Guest) on February 4, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 30, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mushi (Guest) on December 5, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on November 25, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Yusra (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Omar (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Paul Kamau (Guest) on October 29, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on October 27, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on October 23, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on October 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mtumwa (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on September 25, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Daniel Obura (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on July 25, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daudi (Guest) on June 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Latifa (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Mwalimu (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 24, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on April 19, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Related Posts

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

πŸ“– Explore More Articles