Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nyota (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Michael Mboya (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 1, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2017

Asante Ackyshine

Charles Mrope (Guest) on April 15, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 3, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on March 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Masika (Guest) on February 28, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Maida (Guest) on January 9, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rabia (Guest) on December 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mwanakhamis (Guest) on December 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Okello (Guest) on November 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Wanyama (Guest) on November 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 25, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 14, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on September 10, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Monica Lissu (Guest) on September 2, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Shukuru (Guest) on May 24, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mbise (Guest) on February 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on January 16, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on December 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Nkya (Guest) on December 5, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Lissu (Guest) on October 7, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mohamed (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 30, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Wilson Ombati (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mushi (Guest) on May 12, 2015

😊🀣πŸ”₯

Tambwe (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More