Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Habiba (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 26, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 8, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 1, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Minja (Guest) on June 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on December 31, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Salima (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on December 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 8, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 7, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on September 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 24, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Monica Nyalandu (Guest) on September 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on June 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bahati (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Selemani (Guest) on June 6, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nora Lowassa (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Lowassa (Guest) on May 3, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Mutua (Guest) on January 6, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Kiza (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Nyambura (Guest) on November 13, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on October 31, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on September 4, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Lissu (Guest) on September 3, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on August 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on July 27, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on May 5, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

πŸ“– Explore More Articles