Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Featured Image

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji kutoka Bulgaria, Mahubiri yameanza saa 1 asubuhi hali ikawa kama hivi:

MCHUNGAJI: My name is Pastor Livingstone
MKALIMANi: Kwa jina naitwa mchungaji Jiwe linaloishi
MCHUNGAJI: We thank God for All goals we set by our hands
MKALIMANI: Tunamshukuru Mungu kwa Magoli yote tuliyoweka kwa Mkono

Hivi navyoongea kanisa halina viti waumini wote tumekimbia nje naona Mkalimani amebaki na kiatu cha kushoto tu.
Sunday joke

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 20, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on May 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Andrew Mchome (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Kawawa (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on March 6, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Mtangi (Guest) on February 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 12, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on February 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on January 31, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kiza (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Peter Mugendi (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on November 12, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on November 9, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on October 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on October 24, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Farida (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Robert Okello (Guest) on September 21, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on September 18, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on September 17, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Fadhili (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on July 12, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on July 1, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on June 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on May 26, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on March 3, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mary Sokoine (Guest) on February 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on February 3, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on January 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on December 28, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Umi (Guest) on October 27, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on October 12, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 10, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on July 5, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nahida (Guest) on June 25, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Violet Mumo (Guest) on June 7, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on May 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on April 30, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Mduma (Guest) on April 30, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanaidi (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on April 12, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Related Posts

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
πŸ“– Explore More Articles