Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Musyoka (Guest) on November 15, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mariam (Guest) on November 9, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Benjamin Kibicho (Guest) on October 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Jackson Makori (Guest) on August 23, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chum (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwachumu (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on April 28, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on April 13, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 9, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 8, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Agnes Njeri (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on January 10, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on December 12, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on November 24, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nchi (Guest) on September 1, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Hassan (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on July 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on June 21, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on June 21, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on June 6, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Linda Karimi (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on April 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 21, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on March 25, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on February 6, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on January 9, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on December 30, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on December 8, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on November 12, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on October 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Mwangi (Guest) on October 1, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on September 21, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Khadija (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on September 8, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on August 19, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kazija (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Wanjala (Guest) on July 25, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rashid (Guest) on June 19, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 12, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

George Wanjala (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About