Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nashon (Guest) on November 18, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Catherine Naliaka (Guest) on November 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 14, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on September 16, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Malisa (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamim (Guest) on August 7, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Janet Sumari (Guest) on June 17, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on June 15, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Omari (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Mduma (Guest) on May 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on May 16, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Salima (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Omar (Guest) on March 14, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on March 7, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mchuma (Guest) on March 6, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Jackson Makori (Guest) on February 19, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Khamis (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nekesa (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Kimaro (Guest) on January 7, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwafirika (Guest) on December 4, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Robert Okello (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Monica Lissu (Guest) on August 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bakari (Guest) on August 28, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Sumari (Guest) on August 4, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Catherine Naliaka (Guest) on May 16, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Josephine (Guest) on April 19, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on April 18, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on March 31, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on March 27, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mahiga (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 6, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on December 16, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on November 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on November 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 24, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mhina (Guest) on October 19, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Rose Kiwanga (Guest) on October 13, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Francis Mrope (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on August 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Wafula (Guest) on August 26, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on August 13, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on July 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on June 16, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anna Sumari (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Karani (Guest) on May 9, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Amollo (Guest) on April 17, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Related Posts

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About