Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Agnes Lowassa (Guest) on May 1, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on April 29, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on April 21, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on April 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Kamande (Guest) on April 8, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on March 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zainab (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Rose Amukowa (Guest) on March 12, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Brian Karanja (Guest) on February 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mgeni (Guest) on December 27, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 21, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on December 19, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Minja (Guest) on November 23, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on November 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Charles Mboje (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on October 23, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Mushi (Guest) on October 4, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kazija (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Susan Wangari (Guest) on August 16, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on July 21, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

George Wanjala (Guest) on June 30, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Ochieng (Guest) on June 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on June 23, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jamila (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mugendi (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mohamed (Guest) on May 13, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Christopher Oloo (Guest) on April 16, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on March 18, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on March 14, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 1, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jamal (Guest) on February 10, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Mtangi (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Rukia (Guest) on December 24, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Mligo (Guest) on December 19, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 5, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mary Kidata (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 5, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Grace Njuguna (Guest) on October 14, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on October 4, 2015

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on September 28, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on August 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on August 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on August 5, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alex Nakitare (Guest) on July 14, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on May 22, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Tibaijuka (Guest) on May 21, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Margaret Mahiga (Guest) on May 17, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Linda Karimi (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Chiku (Guest) on April 6, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mariam (Guest) on April 5, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo