Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Mduma (Guest) on September 1, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on August 24, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Lydia Mahiga (Guest) on July 4, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on June 12, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on June 2, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Furaha (Guest) on May 20, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 29, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Sokoine (Guest) on April 10, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on April 6, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on March 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 4, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on November 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amir (Guest) on November 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Nkya (Guest) on October 30, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Kamau (Guest) on October 14, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 30, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on August 14, 2016

😊🀣πŸ”₯

Joy Wacera (Guest) on August 4, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mchuma (Guest) on July 29, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 17, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdullah (Guest) on June 12, 2016

Asante Ackyshine

Joyce Nkya (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Kangethe (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on June 3, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Kibwana (Guest) on May 25, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on May 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on May 3, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Mbise (Guest) on March 31, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on March 7, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on January 30, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Lissu (Guest) on December 28, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Fatuma (Guest) on September 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Amollo (Guest) on September 11, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on July 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Mduma (Guest) on July 3, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Robert Okello (Guest) on May 9, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

πŸ“– Explore More Articles