Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia anachokisema Madenge sasa

Featured Image

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke yake.

MWALIMU: Wewe ndio mjinga?

MADENGE: Hapana, ila nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya angalau tuwe wawili.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rukia (Guest) on July 15, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Mugendi (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on June 13, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Zubeida (Guest) on June 4, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Kitine (Guest) on June 3, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on May 16, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salma (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Patrick Akech (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on April 17, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 6, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Charles Mrope (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jamila (Guest) on February 15, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on January 9, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Halimah (Guest) on December 25, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Francis Njeru (Guest) on December 24, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarah Mbise (Guest) on November 24, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Athumani (Guest) on November 6, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on September 13, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Emily Chepngeno (Guest) on September 3, 2016

Asante Ackyshine

Zainab (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Emily Chepngeno (Guest) on August 24, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 17, 2016

😊🀣πŸ”₯

Jane Muthui (Guest) on August 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on June 29, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Agnes Njeri (Guest) on June 10, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Juma (Guest) on June 3, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on March 27, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Arifa (Guest) on March 12, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alice Jebet (Guest) on February 16, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 6, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Monica Adhiambo (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 5, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Halimah (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on November 28, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kheri (Guest) on September 19, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on September 5, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on September 2, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on August 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on July 26, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on July 24, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on July 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on July 8, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 30, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Jamila (Guest) on May 23, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on May 22, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on May 20, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on April 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mhina (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Philip Nyaga (Guest) on April 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

πŸ“– Explore More Articles