Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

MKAKA: Samahani sana….jamaa akachukua Galaxy yake akapiga simu….aise saa ngapi saa hizi? mi ndio nimeingia toka USA nataka kurekibisha saa yangu ifwate muda wa huku. Na wewe uwahi kuchukua iPad nimekuja nazo tatu tu za zawadi. Halafu ntafutie mtoto mzuri nimumwagie midola niliyokuja nayo, ok ciao tuonane badae.
MDADA: Kaka samahani saa hizi ni saa…..
MKAKA: Achana na mimi wewe

Ha ha ha ha haaaaa!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Nyerere (Guest) on April 3, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 17, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Khalifa (Guest) on March 13, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on March 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mazrui (Guest) on February 28, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 5, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Chepkoech (Guest) on February 2, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on January 30, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Umi (Guest) on January 24, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on January 19, 2017

🀣πŸ”₯😊

Mercy Atieno (Guest) on December 23, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on November 23, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Abdillah (Guest) on October 2, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on September 26, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on September 19, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on September 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Betty Kimaro (Guest) on September 11, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jaffar (Guest) on September 5, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Kenneth Murithi (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Michael Onyango (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on July 28, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on July 20, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on July 17, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on July 7, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on July 3, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on May 23, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Majid (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Christopher Oloo (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Sokoine (Guest) on April 17, 2016

😊🀣πŸ”₯

James Kimani (Guest) on April 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on March 19, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on February 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Faiza (Guest) on January 8, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on January 8, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on November 28, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwachumu (Guest) on November 16, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Stephen Kikwete (Guest) on November 15, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on October 31, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Saidi (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Francis Mtangi (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Kamande (Guest) on September 24, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on September 14, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tabu (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 7, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on September 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on August 24, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 7, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on June 28, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on June 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Waithera (Guest) on May 18, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About