Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on July 29, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on June 25, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mugendi (Guest) on June 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on March 30, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthui (Guest) on March 30, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on March 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 19, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on February 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on October 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 17, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Daudi (Guest) on July 29, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nahida (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Mallya (Guest) on July 17, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on July 8, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 4, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Rehema (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on June 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 15, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Martin Otieno (Guest) on March 19, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on February 28, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rukia (Guest) on December 17, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on December 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ahmed (Guest) on December 8, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on November 30, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Elizabeth Mrope (Guest) on November 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on November 1, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Margaret Anyango (Guest) on September 4, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 26, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 20, 2015

Asante Ackyshine

Linda Karimi (Guest) on July 24, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on May 16, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Lowassa (Guest) on May 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on April 26, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 8, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baridi (Guest) on April 8, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 8, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About