Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Mahiga (Guest) on August 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 7, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on July 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on July 18, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Chiku (Guest) on June 18, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Sofia (Guest) on June 15, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Awino (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Malisa (Guest) on April 3, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdullah (Guest) on March 9, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 19, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on January 4, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Stephen Mushi (Guest) on January 3, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Brian Karanja (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Amukowa (Guest) on December 19, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mgeni (Guest) on November 27, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on November 7, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Azima (Guest) on October 29, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Carol Nyakio (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Irene Akoth (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Sokoine (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Malima (Guest) on September 10, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joseph Kawawa (Guest) on September 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faiza (Guest) on July 15, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Zuhura (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nasra (Guest) on June 21, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ruth Kibona (Guest) on June 6, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Daniel Obura (Guest) on May 25, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on May 7, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Mrope (Guest) on April 27, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Thomas Mtaki (Guest) on March 19, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Sumaye (Guest) on March 11, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 3, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on January 24, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 18, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on December 17, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kiwanga (Guest) on December 5, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on December 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on December 3, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Ochieng (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on October 23, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 9, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on August 29, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samuel Were (Guest) on August 24, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on August 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on August 21, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Monica Nyalandu (Guest) on August 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on August 3, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Andrew Mchome (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 19, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on May 4, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on April 16, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo