Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Malima (Guest) on June 20, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alex Nyamweya (Guest) on June 6, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on May 22, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Mligo (Guest) on April 13, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sekela (Guest) on March 20, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hellen Nduta (Guest) on March 9, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ann Awino (Guest) on February 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Faiza (Guest) on February 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on January 15, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on January 14, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on December 13, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Athumani (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mtaki (Guest) on October 29, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hekima (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthui (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on August 25, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 27, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on May 8, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rubea (Guest) on April 25, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Ochieng (Guest) on April 24, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on February 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on January 20, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on October 9, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on October 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Issa (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joyce Mussa (Guest) on September 15, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Njoroge (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on August 22, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Masika (Guest) on August 3, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

George Tenga (Guest) on July 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 17, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on June 27, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rukia (Guest) on May 23, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 26, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Baraka (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Njeri (Guest) on February 15, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Nancy Kawawa (Guest) on January 25, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Mchome (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Francis Mtangi (Guest) on November 17, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

πŸ“– Explore More Articles