Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mushi (Guest) on September 2, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nasra (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on July 12, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Malima (Guest) on June 20, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alex Nyamweya (Guest) on June 6, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on May 22, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Mligo (Guest) on April 13, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sekela (Guest) on March 20, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hellen Nduta (Guest) on March 9, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ann Awino (Guest) on February 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Faiza (Guest) on February 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on January 15, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on January 14, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on December 13, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Athumani (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mtaki (Guest) on October 29, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hekima (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthui (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on August 25, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 27, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on May 8, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rubea (Guest) on April 25, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Ochieng (Guest) on April 24, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on February 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on January 20, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on October 9, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on October 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Issa (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joyce Mussa (Guest) on September 15, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Njoroge (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on August 22, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Masika (Guest) on August 3, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

George Tenga (Guest) on July 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 17, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on June 27, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rukia (Guest) on May 23, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 26, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Baraka (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Njeri (Guest) on February 15, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Related Posts

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More