Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Majid (Guest) on November 20, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on September 24, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on September 24, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on September 22, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 15, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Zulekha (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Majid (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Ali (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Ochieng (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Michael Mboya (Guest) on July 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on June 3, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Neema (Guest) on May 21, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on May 21, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ali (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on May 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on April 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on March 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nancy Akumu (Guest) on February 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 14, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on January 20, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on December 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 5, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Christopher Oloo (Guest) on August 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 24, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumari (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nasra (Guest) on July 4, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 3, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on May 23, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 30, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ali (Guest) on April 6, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on February 3, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jafari (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mchawi (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Janet Sumari (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Josephine Nekesa (Guest) on October 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on October 3, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on September 22, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 14, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on September 7, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on July 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More