Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alice Jebet (Guest) on September 24, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 31, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nyota (Guest) on July 7, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 3, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumaye (Guest) on June 24, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Maida (Guest) on May 5, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on April 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on April 30, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Jamila (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Mahiga (Guest) on April 3, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on April 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on March 1, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on February 11, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on February 10, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on January 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 4, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Moses Mwita (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Anyango (Guest) on December 30, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Faith Kariuki (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 11, 2018

Asante Ackyshine

Khadija (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Chiku (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jackson Makori (Guest) on October 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Carol Nyakio (Guest) on October 2, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on September 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on September 23, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Shani (Guest) on September 14, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Kidata (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on August 14, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Fatuma (Guest) on August 8, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on August 6, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 6, 2018

😊🀣πŸ”₯

Amina (Guest) on July 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on July 13, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on March 6, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on January 30, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on January 17, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Juma (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on December 9, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on December 7, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mariam Hassan (Guest) on December 4, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

John Lissu (Guest) on December 3, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Grace Njuguna (Guest) on November 8, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on September 30, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on September 18, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on August 12, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on July 10, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 22, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Azima (Guest) on June 15, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Khalifa (Guest) on May 24, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Related Posts

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About