Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja; MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili? MFAMASIA: Kama chumvichumvi MZEE: Hakuna sukari MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Tenga (Guest) on November 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on October 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hassan (Guest) on October 9, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on September 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Issack (Guest) on July 28, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Njeru (Guest) on July 26, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on July 20, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 16, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 13, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 6, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mgeni (Guest) on April 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on April 11, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on April 8, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on March 22, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Sokoine (Guest) on January 27, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on November 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 6, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on October 24, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 20, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Christopher Oloo (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Frank Macha (Guest) on August 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on August 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on July 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on July 12, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on April 6, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on March 31, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Biashara (Guest) on March 29, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

John Lissu (Guest) on March 22, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Chris Okello (Guest) on March 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on March 3, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 10, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on November 29, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shani (Guest) on October 20, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on October 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on October 5, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kevin Maina (Guest) on September 14, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Josephine (Guest) on August 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on August 15, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on July 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Sumaye (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More