Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Wairimu (Guest) on June 6, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Saidi (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joyce Nkya (Guest) on May 21, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on March 31, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Latifa (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Chris Okello (Guest) on February 18, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on February 18, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on February 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Michael Onyango (Guest) on December 5, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on November 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 25, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mwajuma (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Simon Kiprono (Guest) on November 6, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on November 2, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on October 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

James Malima (Guest) on September 29, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on August 8, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Kawawa (Guest) on August 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 26, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Mwikali (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 27, 2020

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on May 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2020

😊🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Sharifa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Wafula (Guest) on February 14, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samuel Were (Guest) on October 28, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Wanjala (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on September 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

John Malisa (Guest) on July 21, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on June 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?