Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nakitare (Guest) on January 13, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on December 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sekela (Guest) on November 9, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Mtangi (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jabir (Guest) on September 8, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on August 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jamila (Guest) on August 18, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on August 6, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ali (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Minja (Guest) on July 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on July 14, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on July 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

David Chacha (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 11, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 12, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Komba (Guest) on May 9, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on April 20, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwachumu (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Malima (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Fadhili (Guest) on February 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nora Kidata (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on December 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on September 24, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 21, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on June 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on June 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on May 29, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 25, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 19, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Chacha (Guest) on January 17, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rahim (Guest) on December 27, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sultan (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kendi (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on September 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on August 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Njeri (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More