Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nahida (Guest) on July 22, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on May 18, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on April 30, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khalifa (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Carol Nyakio (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Njoroge (Guest) on April 3, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on September 30, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on July 17, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on July 2, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mercy Atieno (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Kendi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on May 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 5, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 23, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Hellen Nduta (Guest) on April 9, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Kabura (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on January 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwakisu (Guest) on December 14, 2018

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Latifa (Guest) on December 6, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Saidi (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zakia (Guest) on August 8, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on August 7, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Wilson Ombati (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on June 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Sokoine (Guest) on April 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Saidi (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Otieno (Guest) on March 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on February 26, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Abubakar (Guest) on January 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nuru (Guest) on December 30, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 23, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 6, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Malima (Guest) on November 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About