Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sumaya (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Susan Wangari (Guest) on September 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on September 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ali (Guest) on August 22, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on August 16, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 16, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 13, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 19, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Kamau (Guest) on April 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on April 7, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sekela (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Mrema (Guest) on March 11, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on March 1, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 18, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 20, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on December 22, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Josephine Nekesa (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ibrahim (Guest) on October 17, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on September 29, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 29, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Miriam Mchome (Guest) on September 28, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 27, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Were (Guest) on September 3, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Francis Njeru (Guest) on August 30, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on August 21, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Chum (Guest) on July 19, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthoni (Guest) on July 6, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Zainab (Guest) on June 13, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Njeru (Guest) on June 8, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nyota (Guest) on May 30, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 21, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 11, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on April 10, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on March 30, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rahma (Guest) on March 28, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on March 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on February 9, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Mushi (Guest) on January 11, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Kangethe (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Malima (Guest) on November 29, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Wanjiru (Guest) on November 3, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 14, 2017

😊🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on October 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fatuma (Guest) on August 30, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Wafula (Guest) on July 26, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Umi (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About