Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Featured Image

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Andrew Mahiga (Guest) on July 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on July 17, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Kijakazi (Guest) on June 20, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on June 12, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Musyoka (Guest) on June 1, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on March 26, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Salum (Guest) on March 13, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Kenneth Murithi (Guest) on March 5, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rubea (Guest) on February 25, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Akoth (Guest) on February 2, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mwanais (Guest) on January 7, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwakisu (Guest) on January 4, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 17, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on December 15, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on November 17, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on October 13, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mzee (Guest) on September 29, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Yusra (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Grace Majaliwa (Guest) on September 22, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on August 31, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 26, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on August 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Shukuru (Guest) on July 2, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on June 19, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Ochieng (Guest) on June 4, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Mussa (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mchuma (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 25, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Shani (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ann Wambui (Guest) on February 1, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on January 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ann Wambui (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Kevin Maina (Guest) on January 14, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Mbithe (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on December 14, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chum (Guest) on December 8, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on October 10, 2017

😊🀣πŸ”₯

Biashara (Guest) on October 10, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on September 23, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwinyi (Guest) on September 22, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shabani (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Sumari (Guest) on September 6, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Hassan (Guest) on September 1, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwachumu (Guest) on August 28, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Tenga (Guest) on August 21, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Maulid (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Peter Otieno (Guest) on August 13, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on July 24, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Kimotho (Guest) on July 22, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on June 3, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About