Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 30, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Halimah (Guest) on December 6, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on December 6, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on November 19, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Salima (Guest) on November 8, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Khalifa (Guest) on November 5, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jackson Makori (Guest) on October 24, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on October 18, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Arifa (Guest) on October 2, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joyce Aoko (Guest) on September 28, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on September 5, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on August 22, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on August 21, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nora Kidata (Guest) on August 5, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sekela (Guest) on July 1, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Sokoine (Guest) on June 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on June 21, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on June 7, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 13, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rubea (Guest) on May 13, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nora Kidata (Guest) on April 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on April 7, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on April 1, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Selemani (Guest) on March 23, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jafari (Guest) on March 21, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Khadija (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Susan Wangari (Guest) on January 13, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

James Malima (Guest) on December 23, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Chris Okello (Guest) on December 23, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Margaret Mahiga (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Musyoka (Guest) on November 20, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Charles Mboje (Guest) on November 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on October 19, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on October 10, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 3, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 19, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on September 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Zakia (Guest) on September 3, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Malecela (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on July 19, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zainab (Guest) on June 28, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Paul Kamau (Guest) on June 24, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on June 24, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Samuel Were (Guest) on June 10, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Janet Wambura (Guest) on June 4, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on June 3, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on June 1, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Latifa (Guest) on May 8, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on April 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 19, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on April 19, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on February 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on December 28, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About