Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Miriam Mchome (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on August 9, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 13, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on June 16, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on May 20, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Muthui (Guest) on May 15, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on April 24, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Komba (Guest) on April 15, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on April 2, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on March 1, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on February 12, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on February 11, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on January 11, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Monica Adhiambo (Guest) on January 7, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Hellen Nduta (Guest) on December 13, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on November 4, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alice Mwikali (Guest) on November 3, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Daudi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on October 20, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on October 5, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on October 2, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on September 24, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Richard Mulwa (Guest) on August 30, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Sumaye (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on July 8, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanais (Guest) on June 10, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Omar (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Grace Mligo (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on May 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Diana Mumbua (Guest) on April 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on March 15, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Esther Nyambura (Guest) on January 30, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on January 24, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on January 15, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Majid (Guest) on January 11, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Odhiambo (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on January 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on December 11, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Yahya (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on November 21, 2017

😊🀣πŸ”₯

Charles Wafula (Guest) on November 4, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on October 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Malisa (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on September 19, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Umi (Guest) on August 26, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mumbua (Guest) on July 11, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on June 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Martin Otieno (Guest) on June 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Philip Nyaga (Guest) on April 20, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Aoko (Guest) on March 30, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More