Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care.. BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque GIRL: Baby u are awesome… BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula…. GIRL: Enhee…na sisi?? BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives GIRL: Baby I love you BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko?? BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Issa (Guest) on March 16, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Carol Nyakio (Guest) on January 18, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Maida (Guest) on January 3, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on January 3, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Kidata (Guest) on November 28, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Malisa (Guest) on November 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 10, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Paul Kamau (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on October 23, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Edith Cherotich (Guest) on September 27, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 14, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on August 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on July 27, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Rose Waithera (Guest) on July 20, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on July 17, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Kamande (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Zakaria (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Brian Karanja (Guest) on May 21, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Mwita (Guest) on May 11, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 27, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwajuma (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on February 9, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on January 25, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on January 22, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 2, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on December 12, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on November 25, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Baraka (Guest) on October 25, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on September 15, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Latifa (Guest) on July 26, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on July 4, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on June 16, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Mrope (Guest) on May 5, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Paul Ndomba (Guest) on April 23, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahma (Guest) on April 16, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on April 14, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Grace Wairimu (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Thomas Mtaki (Guest) on March 14, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on February 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on February 19, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on February 13, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on February 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on January 6, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on December 10, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on November 27, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on November 10, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Malima (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on October 22, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Waithera (Guest) on October 4, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on September 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on September 17, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on September 10, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rubea (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

πŸ“– Explore More Articles