Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Tibaijuka (Guest) on November 8, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Alice Mrema (Guest) on November 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on October 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 29, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwanais (Guest) on October 15, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Kamande (Guest) on September 28, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on September 19, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on September 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on September 10, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on August 18, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Paul Kamau (Guest) on July 14, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 17, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on June 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Mallya (Guest) on June 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Khalifa (Guest) on May 29, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Robert Okello (Guest) on May 28, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jackson Makori (Guest) on April 29, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Monica Adhiambo (Guest) on April 16, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 11, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on February 21, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mohamed (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kassim (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Kawawa (Guest) on November 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 17, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on September 13, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on September 6, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Komba (Guest) on August 26, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on July 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 12, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 25, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on June 15, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jamila (Guest) on June 14, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Kimario (Guest) on May 25, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Charles Mrope (Guest) on April 21, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Hassan (Guest) on April 7, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on March 28, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Malela (Guest) on March 24, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sumaya (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Azima (Guest) on March 18, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Zakaria (Guest) on March 16, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jane Muthoni (Guest) on March 1, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on February 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on February 4, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on February 2, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Raha (Guest) on January 23, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on December 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mariam (Guest) on December 15, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Aziza (Guest) on December 8, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on December 1, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About