Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwanakhamis (Guest) on July 3, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Zuhura (Guest) on June 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Leila (Guest) on May 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on May 2, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on April 18, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on April 7, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on March 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on March 7, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Kawawa (Guest) on February 17, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Amollo (Guest) on February 14, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Sokoine (Guest) on February 9, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on January 31, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Michael Mboya (Guest) on December 4, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarafina (Guest) on October 31, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Patrick Mutua (Guest) on October 17, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on October 12, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shani (Guest) on September 28, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 27, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on September 6, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rukia (Guest) on August 15, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Chepkoech (Guest) on August 14, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on August 13, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Mligo (Guest) on July 17, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on July 15, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

David Chacha (Guest) on June 21, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on June 14, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lydia Wanyama (Guest) on May 24, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on April 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on January 29, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Mrema (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Josephine Nduta (Guest) on January 11, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Baridi (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Rose Mwinuka (Guest) on October 9, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Amir (Guest) on October 4, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on September 26, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Betty Cheruiyot (Guest) on September 6, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Raha (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on July 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on July 26, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Jackson Makori (Guest) on July 26, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 26, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on May 31, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on May 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Esther Nyambura (Guest) on May 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on April 13, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on April 11, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Alice Wanjiru (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Josephine (Guest) on April 6, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Agnes Njeri (Guest) on March 21, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on February 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on January 8, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on December 27, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About