Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!.. Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!… MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!.. MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270" MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!." MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Esther Cheruiyot (Guest) on January 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Njoroge (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwanaidha (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on September 7, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on September 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Malima (Guest) on August 28, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on August 25, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Majaliwa (Guest) on August 14, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 2, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on June 13, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 18, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on April 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Martin Otieno (Guest) on April 10, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 29, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on March 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

James Malima (Guest) on February 9, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Otieno (Guest) on January 3, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on December 26, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Khadija (Guest) on December 17, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abdillah (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on December 5, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on November 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 13, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on October 14, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Mahiga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Otieno (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 26, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on July 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on June 17, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Kikwete (Guest) on June 10, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Henry Sokoine (Guest) on April 28, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About