Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi? MLEVI: Naomba uje unisukume. Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Catherine Mkumbo (Guest) on July 31, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on July 19, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Charles Mrope (Guest) on June 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sofia (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Lydia Wanyama (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on January 28, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Binti (Guest) on January 22, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on January 1, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Richard Mulwa (Guest) on November 23, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 9, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Margaret Anyango (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Mushi (Guest) on October 8, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nyota (Guest) on September 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on August 15, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Mushi (Guest) on August 4, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on July 31, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Adhiambo (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on March 2, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 23, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Baridi (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edward Lowassa (Guest) on January 31, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on January 31, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Kendi (Guest) on January 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on January 20, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mumbua (Guest) on January 16, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Kamande (Guest) on December 16, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 16, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Neema (Guest) on December 15, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on October 31, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Brian Karanja (Guest) on September 25, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Masika (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on August 24, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on August 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Mtangi (Guest) on July 7, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 26, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 16, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on June 13, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Khadija (Guest) on May 27, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samson Mahiga (Guest) on May 18, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on April 23, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Mahiga (Guest) on April 1, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Alex Nyamweya (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on March 12, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Maulid (Guest) on March 9, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on January 28, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on January 8, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ramadhan (Guest) on December 20, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Christopher Oloo (Guest) on December 16, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on December 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Related Posts

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About