Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Featured Image

KUMBUKA

Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.

Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,Β  nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Miriam Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 16, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Irene Akoth (Guest) on April 13, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ann Wambui (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Sumaye (Guest) on March 10, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Peter Mwambui (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Patrick Akech (Guest) on January 30, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Emily Chepngeno (Guest) on August 29, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on August 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 12, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Tibaijuka (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mwanajuma (Guest) on March 13, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Anna Sumari (Guest) on January 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2016

Sifa kwa Bwana!

Margaret Anyango (Guest) on October 19, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Mwinuka (Guest) on September 11, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Christopher Oloo (Guest) on September 10, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Awino (Guest) on June 5, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Masanja (Guest) on May 4, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Related Posts

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About