Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.

MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Amukowa (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Omondi (Guest) on February 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zawadi (Guest) on January 31, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nahida (Guest) on January 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on January 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on December 20, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 16, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Tabitha Okumu (Guest) on November 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on November 13, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Daudi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mtaki (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on August 26, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Janet Wambura (Guest) on August 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Mallya (Guest) on August 6, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shabani (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ali (Guest) on July 14, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jane Malecela (Guest) on July 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kahina (Guest) on June 13, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on May 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on May 1, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Omar (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Victor Malima (Guest) on March 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 13, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on February 4, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanajuma (Guest) on November 28, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on November 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 3, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sofia (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Sokoine (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Komba (Guest) on June 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on June 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 2, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on April 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Waithera (Guest) on March 10, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on February 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 29, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Maida (Guest) on January 24, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on January 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Related Posts

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More