Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Wangui (Guest) on May 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 18, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on March 13, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on March 3, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on February 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on February 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mtaki (Guest) on December 14, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on October 30, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 20, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on October 16, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on October 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Linda Karimi (Guest) on October 13, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 13, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nancy Kabura (Guest) on August 19, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Salum (Guest) on July 30, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on July 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Simon Kiprono (Guest) on March 28, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 28, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on February 23, 2020

😊🀣πŸ”₯

Rose Amukowa (Guest) on February 2, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 22, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rukia (Guest) on January 12, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on December 22, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 5, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

James Kimani (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on October 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on August 27, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Bahati (Guest) on August 19, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mtangi (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Lowassa (Guest) on July 13, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on July 5, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on July 4, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on June 16, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Elizabeth Malima (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Henry Mollel (Guest) on May 17, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on April 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Adhiambo (Guest) on February 5, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More